Sign Up

Sign Up to our social questions and Answers Engine to ask questions, answer people’s questions, and connect with other people.

Have an account? Sign In

Have an account? Sign In Now

Sign In

Login to our restaurant business questions & Answers Engine to ask questions answer people’s questions & connect with other people.

Sign Up Here

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now
You must login to ask question.

Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Agiza24 Logo Agiza24 Logo
Sign InSign Up

Agiza24

Agiza24 Navigation

  • HOME
  • BLOG
  • ABOUT US
  • CONTACTS
Search
Ask A Question

Mobile menu

Close
Ask a Question
  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Cookie Policy
Home/agiza24

Agiza24 Latest Questions

Asked: October 13, 2021In: Food Delivery

Who are Agiza24’s customers?

Lusabara
Lusabara Begginer

Agiza24’s customers represent a wide cross-section of people from diverse backgrounds, ethnicities, and walks of life. Similarly to many of our chefs, many customers are immigrants and expats who use Agiza24 to enjoy comfort food from their home countries. Customers also ...Read more

Agiza24’s customers represent a wide cross-section of people from diverse backgrounds, ethnicities, and walks of life. Similarly to many of our chefs, many customers are immigrants and expats who use Agiza24 to enjoy comfort food from their home countries.

Customers also tend to be adventurous and love to try new cuisines and dishes. They are typically planners who incorporate Agiza24 meals into their weekly routines, enjoying homemade dishes throughout the week with their families and loved ones.

Just as we do with all our chefs, we welcome every customer into the Agiza24 community with open arms.

Read less
agiza24chefs
  • 0
  • 0 0 Answers
  • 13 Views
  • 0 Followers
Asked: February 11, 2021In: Fast Food

Ni Nini Kitatokea Endapo Hutatoa TIP Kwenye Agiza24?

Lusabara
Lusabara Begginer

Hakuna kitu “kitakachotokea” ikiwa hutotoa TIP, lakini kwa nini uwe mtu wa namna hiyo? Je, unafikiri haupaswi kuwatunza madereva wanaokufikishia chakula chako salama? Hebu fikiria ungalitumia usafiri wako binafsi, ungalichoma mafuta yako, na hata ungalitumia muda wako mwingi kwenye ...Read more

Hakuna kitu “kitakachotokea” ikiwa hutotoa TIP, lakini kwa nini uwe mtu wa namna hiyo? Je, unafikiri haupaswi kuwatunza madereva wanaokufikishia chakula chako salama?

Hebu fikiria ungalitumia usafiri wako binafsi, ungalichoma mafuta yako, na hata ungalitumia muda wako mwingi kwenye foleni kutafuta huduma. Huna marupurupu unayolipwa kufika kule na kurudi (hata mwenye mgahawa hatakupa punguzo au kukwambia aksante), unasimama kwenye foleni ya kaunta za huduma na malipo. Huyu dereva hufanya yote hayo kama vile anavyowanunulia familia yake, na anahakikisha chakula chako kinakufikia kwa wakati kikiwa katika hali nzuri.

Ikiwa hujatoa TIP, hawa madaereva moyoni mwao wanakosa uchangamfu, na huenda usipate oda yako kwa muda unaotarajia. Agiza24 inaweza kumpangia tripu dereva akuletee oda yako baadhi ya madereva huzibatilisha oda baada ya kuona haina TIP, kwa sababu hatuwezi kuona uchambuzi wa nani anapigia nini hadi maagizo yamekamilika. Lakini kwa oda ambazo mteja ametoa TIP ugombaniwa na kila dereva na mara nyingi humfikia mteja ndani ya wakati.

Mfumo wa Agiza24 ukokotoa bei ya usafiri kati ya TZS 1000 hadi TZS3000 (kulingana na umbali kutoka mgahawa hadi kwa mteja) kwa kila “kundi”. Kundi linaweza kuwa hadi oda za wateja 3 kutoka mgahawa. Wakati madereva, kama wasambazaji chakula, wanapoangalia kazi walizoitiwa wanaweza kuona matakwa ya oda pamoja na kiwango fedha cha oda husika. Wanaona ni kutoka mgahawa upi, mteja ni nani na yuko wapi, hesabu ya bidhaa, na maili ngapi kutoka kwa duka hadi kwa mteja. Hii inaonyeshwa na kiasi kinachoitwa “makadirio ya mapato” ambayo ni pamoja na msingi pamoja na TIP iIiyotolewa. Kiasi cha TIP hakihakikishiwa, na wakati mwingine hutegemea%, kwa hivyo inaweza kubadilika. Hata hivyo, huchukua si zaidi ya dakika ishirini kumfikia mteja.

Natambua, waafrika wengi hatuna utamaduni wa kutoa TIP lakini ni muhimu kuiga. Kuna baraka ndani yake!

Read less
agiza24driver tipfood deliveryrunner
  • 0
  • 0 0 Answers
  • 49 Views
  • 0 Followers
Asked: February 10, 2021In: Food Delivery

Ni Nini Mwelekeo wa Biashara ya Usambazaji Chakula – Food Delivery?

Lusabara
Lusabara Begginer

Usambazaji chakula ni dhana ya ubebaji chakula kutoka kwa mpishi au mghahawa kwenda kwa mlaji. Dhana hii imekuwepo kwa muda nchini Tanzania ikizingatiwa kwamba asilimia 60% ya akina mama nchini Tanzania hujishughulisha na biashara ya chakula. Read more

Usambazaji chakula ni dhana ya ubebaji chakula kutoka kwa mpishi au mghahawa kwenda kwa mlaji. Dhana hii imekuwepo kwa muda nchini Tanzania ikizingatiwa kwamba asilimia 60% ya akina mama nchini Tanzania hujishughulisha na biashara ya chakula.

Mbali na kwamba utawaona wasaidizi wengi wa mama lishe wakitafuta na kusambaza chakula, mfumo huu pia wa usambazaji wa chakula umekuwa ukifanywa na baadhi ya migahawa japokuwa si rasmi.

Kimaksudi, nitaangazia mfumo ambao umekuwa ukitumiwa Biashara ya huduma za usambazaji wa chakula zinaongezeka katika miji mikubwa. Wafanyabishara ya chakula walikuwa wakichapisha menyu pamoja bei zake, (huku chini ya menyu hizo wakiwa wameweka namba zao za simu) na kuzisambaza maofisini tayari wanangoja kupigiwa simu na kupewa oda. Njia hii umlazimu mteja kupiga simu na kuuliza ikiwa chakula hiki au kile kipo ama hakipo… kisha ukubaliana na muuzaji na hivyo chakula ufungwa na kupelekewa kwa mteja.
Mbinu hii inatumika hata sasa kwa baadhi ya migahawa!

Changamoto kuu ambazo watumiaji wa mfumo huu wanakabiliana nazo ni, kwanza, umlazimu mteja kupiga simu kuweka oda na kufuatilia maendeleo ya oda. Pili, restaurant ni moja na hivyo inamlazimu mteja ale chakula kilichopo na si kile anapenda kula. Tatu, kukosekana kwa mfumo thabiti wa usambazaji chakula, n.k.

Hai Ilivyo Sasa!

Makuzi na ongezeko la matumizi ya technolojia duniani yamebadili namna biashara nyingi zinavyofanyika. Usambazaji chakula nao hujaachwa nyuma. Japo kwa Tanzania teknolojia bado haijashika kasi lakini mambo yameanza yanabadilika. Japo hatuna takwimu rasmi, lakini inasemekana zaidi ya oda 2000 uwekwa kupitia smartphone na kusambazwa kwa wateja jijini Dar es Salaam kila siku.

Kupitia applications za simu, watumiaji wa Android na iPhone wanaweza kuagiza chakula kupitia aidha Agiza24, Piki, Yamee, FoodSasa, n.k na wakafikishiwa mahali walipo katika mikoa yao.

Wateja ndiyo huwajibika kulipa gharama ya usafiri, vifungashio na n.k. Hivyo, wateja wa huduma hizi ni wale wenye uwezo wa kulipia gharama hizi za ziada. Kumbe kwa kadri nchi inavyokuwa na idadi ndogo ya raia wenye kipato cha kati na kwenda juu, ndivyo idadi ya watumiaji wa huduma hizi inavyoendelea kuwa ndogo.

Hata hivyo inatarajiwa kwamba, ukuaji wa matumizi ya teknologia kama inavyoshuhudiwa sasa, kidogo kidogo itabadili tabia na mienendo ya watu katika shughuli za kila siku. Kwa msingi huo inatarajiwa miaka mitano kuanzia sasa idadi ya watumiaji wa huduma hizi itaongezeka maradufu.

Read less
agiza24foodfood deliveryrestaurant
  • 0
  • 0 0 Answers
  • 205 Views
  • 0 Followers

Sidebar

Ask A Question

Stats

  • Questions 35
  • Answer 1
  • Best Answers 0
  • Users 3
  • Popular
  • Answers
  • Bigmike's hot grill

    Nawezaje Kujisajili Kama Chef?

    • 1 Answer
  • Lusabara

    Will my food be delivered hot or cold?

    • 0 Answers
  • Lusabara

    Where are chefs located?

    • 0 Answers
  • Lusabara
    Lusabara added an answer Kuna njia mbili za kujisajili kama Chef ifuatavyo;- 1: Bofya… May 17, 2021 at 10:15 am

Top Members

Lusabara

Lusabara

  • 34 Questions
  • 32 Points
Begginer
Bigmike's hot grill

Bigmike's hot grill

  • 0 Questions
  • 21 Points
Begginer
Johnson X

Johnson X

  • 0 Questions
  • 20 Points
Begginer

Trending Tags

agiza24 Chef chefs driver driver tip food food delivery foods online food ordering picking order restaurant runner Salad Dressing Veggie Quiche Muffins

Explore

  • Home
  • Create Group
  • Communities
  • Questions
    • New Questions
    • Trending Questions
    • Must read Questions
    • Hot Questions
  • Polls
  • Tags
  • Badges
  • Users
  • FAQ
  • QR Menu

Footer

Agiza24

We encourage you to get involved with the conversations and discussions happening online and in-person. Share your story, your experience and help shape the future of the industry.

About Us

  • Meet The Team
  • About Us
  • Blog
  • Contact Us

Legal Stuff

  • Terms of Use
  • Privacy Policy
  • Cookie Policy

Help

  • Knowledge Base
  • Contact Us

Follow

Copyright © 2021 Agiza24. All Rights Reserved
With Love by BraiWeb Technologies